top of page
  • Writer: MZEEBABA.COM
    MZEEBABA.COM
  • Feb 8, 2018
  • 1 min read

Miracle box ni nibox linalokuwezesha kuflash simu na kufanya mambo kadhaa yanayohusinana na kurepair simu yako miracle inapatikana katika bei mbalimbali kulingana na vision yake lakini kwasasa watu wengi wanatumia Miracle crack box ambayo inafanya kazi bila kuhitaji box ambapo utatakiwa kuwa na computer na usb cable pekee na utaweza kuanza kazi ya kuflash simu

Mambo yakuzingatia

1.Hakikisha umeinstall drivers zote za simu

2.Hakikisha umeinstall Miracle software ambayo inafanya kazi na inafunguka bila shida yoyote

3.Hakikisha start button inafanya kazi

4. Hakikisha simu yako inacharge kuanzia asilimia 50 na kuendelea

Fanya chaguzi sahihi kulingana na tatizo la simu lilivyo kwa maelezo zaidi tupigie 0763371193

  • Writer: MZEEBABA.COM
    MZEEBABA.COM
  • Feb 8, 2018
  • 1 min read

Namna ya kutoa simu zilizolokiwa na google account endapo simu yako umerestore na umesahau password au gmail account yako fata maelekezo yafuatayo

Namna ya kujua simu yako imejilock ukiwasha itaanza kukuomba uconnect wireless baada ya hapo itakulazimu uingize email na password zilizokuwe mara ya kwanza

kama huzikumbuki fanya yafuatayo

MZEEBABA

© 2018 BY MUBABAZI.COM. PROUDLY CREATED WITH ISECHI.COM

MZEEBABA.COM

Social wiz in the media biz 

WEEKLY NEWSLETTER 

bottom of page